Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Huyu ni Cristiano Ronaldo ana miaka 36 na bado anacheza mpira na kuvunja rekodi mbalimbali
Mind you kama unataka kuwa kama Ronaldo
-Siku ambazo hana mechi analala mishale ya saa nne
-Ronaldo hatumii kilevi wala vinywaji baridi
-Ronaldo hana tattoo mwilini kwakuwa anahitaji kuchangia damu
-Ronaldo anaingia wa kwanza mazoezini na wa mwisho kuondoka
-Ronaldo hali kabisa nyama (Red meat)
-Ronaldo ana Daktari wake, Trainer wake, Mwanasheria wake, Kocha wake (wa kumpa programs)
Unataka kuwa kama Ronaldo?
Mind you kama unataka kuwa kama Ronaldo
-Siku ambazo hana mechi analala mishale ya saa nne
-Ronaldo hatumii kilevi wala vinywaji baridi
-Ronaldo hana tattoo mwilini kwakuwa anahitaji kuchangia damu
-Ronaldo anaingia wa kwanza mazoezini na wa mwisho kuondoka
-Ronaldo hali kabisa nyama (Red meat)
-Ronaldo ana Daktari wake, Trainer wake, Mwanasheria wake, Kocha wake (wa kumpa programs)
Unataka kuwa kama Ronaldo?
| WACHEZAJI 14 YANGA WAKUTWA NA CORONA
| Metacha
KMC 