Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Safari za Ndege kuhamisha Watu kutoka kwenye uwanja wa Ndege wa Kabul, Afghanistan zimerejea kama kawaida baada ya vurugu na taharuki ya jana kuisha ambapo picha hii inaonesha Raia wa Afghanistan wapatao 640 wakiwa angani ndani ya Ndege ya Kijeshi ya Marekani C-17 Globemaster III wakielekea Qatar.