Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,008
- 453,977
“Tumerudi tena na Operesheni kubwa Kibiti, tuna Askari wa kutosha wapo kule wanafanya operesheni, tunaomba Ndugu zetu kule Kibiti, Mtwara, Lindi Wananchi watupe taarifa kama kuna mambo hayako sawa, kuna operesheni kule Msumbiji tunaamini kuna baadhi ya Watu watarudi hao wanaorudi lazima wapate moto kwa mujibu wa Sheria”
“Tutahakikisha maeneo yanakuwa shwari, kuna wale wa Msumbiji kule tunadhibiti kuhakikisha wasije kuja huku na kama watakuja wabadlike na wasipobadilika moto ni uleule uliowafanya wakimbie kule” ——— Asema Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Simon Sirro leo Dar es salaam.
“Tutahakikisha maeneo yanakuwa shwari, kuna wale wa Msumbiji kule tunadhibiti kuhakikisha wasije kuja huku na kama watakuja wabadlike na wasipobadilika moto ni uleule uliowafanya wakimbie kule” ——— Asema Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Simon Sirro leo Dar es salaam.