Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kesho August 2 2021 anatarajiwa kuanza ziara rasmi ya Kiserikali ya siku mbili Nchini Rwanda kwa mwaliko wa Rais wa Nchi hiyo Paul Kagame.
Akiwa Nchini humo pamoja na mambo mengine atafanya mazungumzo rasmi na Mwenyeji wake Rais Paul Kagame kisha atashuhudia utiaji saini wa hati za makubaliano na kuzungumza na vyombo vya habari, ziara hii inalenga kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano kati ya Rwanda na Tanzania.
Akiwa Nchini humo pamoja na mambo mengine atafanya mazungumzo rasmi na Mwenyeji wake Rais Paul Kagame kisha atashuhudia utiaji saini wa hati za makubaliano na kuzungumza na vyombo vya habari, ziara hii inalenga kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano kati ya Rwanda na Tanzania.

