Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Italo Ferreira raia wa Brazil ametwaa medali ya dhahabu ya kwanza katika mashindano ya Olimpiki baada ya kumshinda Kanoa Igarashi wa Japan katika fainali ya mchezo wa ‘Surfing’ kwa wanaume.
Ferreira, ambaye alijifunza kuchezea mawimbi ya maji kupitia kwenye sanduku ambalo baba yake alitumia kuuza samaki , alishinda kwa pointi 15.14 dhidi ya Igarashi's mwenye 6.60 katika mchezo uliofanyika katika ufukwe wa Tsurigasaki , wakati Owen Wright wa Australia akishinda medali ya shaba.
Ferreira, ambaye alijifunza kuchezea mawimbi ya maji kupitia kwenye sanduku ambalo baba yake alitumia kuuza samaki , alishinda kwa pointi 15.14 dhidi ya Igarashi's mwenye 6.60 katika mchezo uliofanyika katika ufukwe wa Tsurigasaki , wakati Owen Wright wa Australia akishinda medali ya shaba.