Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
One, you're like a dream come true...
Two, just wanna be with you...
Three, girl, It's plain to see...
That you're the only one for me, and...


One, you're like a dream come true...
Two, just wanna be with you...
Three, girl, It's plain to see...
That you're the only one for me, and...


My baby roh roh umeniroga ah ilo wowoo...Eeenh
Hii couple inavutiaMy baby roh roh umeniroga ah ilo wowoo...
Linafunika kigoda oh sweet njoo...
Mageto kumenoga...
Kimo cha kondoo nikupe utamu...
Kunoga ahh eeh amhh....
My baby roh roh umeniroga ah ilo wowoo...
Linafunika kigoda oh sweet njoo...
Mageto kumenoga...
Kimo cha kondoo nikupe utamu...
Kunoga ahh eeh amhh....



Sema kweli bwanaHii couple inavutia
Kweli bwanaSema kweli bwana
He he asante mwayaKweli bwana
Hii couple inavutia
Sema kweli bwana
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Dr. Dorothy Gwajima amesema Watu 408 wamebainika kuwa na ugonjwa wa covid 19 unaosababishwa na virusi vya corona nchini Tanzania huku 284 wakiwa katika mashine za oksijeni.
Itakumbukwa juzi July 07,2021, Rais Samia Suluhu akiwa Kibaigwa alisema ———> “Nimetazama hapa (Kibaigwa) ninaowaona Watu walioziba midomo na pua ni kidogo sana, nataka niwaambie tuchukue tahadhari zote dhidi ya maradhi ya Corona, wimbi la tatu lipo kwenye Nchi na hakuna la kuficha, tayari tuna wagonjwa kwenye Mikoa ya DSM, Arusha, Mwanza na mingine hata Dodoma kwa kiasi kidogo sana lakini wapo”
“Chukueni tahadhari hili wimbi la tatu ambalo linapukutisha wenzetu lisije kupukutisha hapa kwetu, gonjwa hili likianza kutuangusha halina kusimama linapukutisha tu”.View attachment 1848794
Ongeraaa ex babee

haya taratibu