Makapuku Forum

Makapuku Forum






Mi ni zawadi nilopewa...
Macho nipepese wapi...
Mi kipofu kwako sioni...

Penzi limetaratadi, napepewa...
Harufu ya marashirashi...
Nikitouch touch shingoni...

Uvae baibui khanga...
Viatu vya kuchuchumia kangaroo...
Kisima tui tanga...

We huba nifukizia pambe tu...
Ukizungushia shanga...
Inashuka inapanda chini juu...

Nishatafuna karanga...
Sasa chumba ndo kiwanda watoto tu iyee iyee....
Hausukumi damu moyo unasukuma upendo wangu niko mahabani mambo sawa Sawaa...
 
Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Halima Abdallah Bulembo amekabidhi hundi yenye thamani ya shilingi 136,000,000 kwa makundi ya akina Mama,Vijana na Watu wenye ulemavu.

Fedha hizi ni asilimia 10 za makusanyo ya mapato ya Halmashauri ambazo zinalenga kuwakwamua wakina Mama, Watu wenye ulemavu na Vijana kujipatia maendeleo.

Serikali inaendelea kuwawezesha Wananchi na makundi mbalimbali ambao kwa hali ya kawaida hawakopesheki katika mifumo rasmi ya kifedha.
20210702_204545.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom