Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mwenyewe jana nimejilipua uko nimenunua kitu ninachokipenda sasa hivi sina hata mia maisha ndio hayahaya unapopata nafasi ya kujifurahisha mwenyewe kama mimi jifurahishe tu hakuna namna

Naishi maisha yangu halafu nayapenda sana nikiwa nacho hujui nikikosa hujui
 
“Duniani kuna wimbi la tatu la Corona, tumetoka kwenye wimbi la kwanza Tanzania tumeingia, tumekwenda wimbi la pili na sasa wimbi la tatu, ishara ndani ya Nchi tayari zinaonekana, tayari tuna wagonjwa ambao wameshaonekana kwenye wimbi hili la tatu”———Rais Samia

“Nilipotembelea Mwananyamala Hosp, kuna wodi Daktari alikuwa ananiingiza akaniambia humo kuna Wagonjwa wenye matatizo ya kupumua nikamwambia kuwa muwazi ni covid? akasema ndio wakati wapiga picha wangu wameshatangulia nikawaambia tokeni haraka, hili jambo bado lipo tuchukue tahadhari ili tuepushe vifo vya makundi”———Rais Samia akiongea na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania Dar es salaam leo.

“Dunia kwa sasa inakabiliwa na janga la Covid-19 na Kanisa tangu mwanzo limekuwa na msimamo thabiti wa kupambana na gonjwa hii, niwaombe Maaskofu na Viongozi wengine wa Dini endeleeni kuwakumbusha Waumini wajikinge na Corona” ——— Rais Samia.
20210625_161459.jpg
 
Mkuu mpya wa Wilaya ya Songwe ameanza kazi ikiwa ni siku chache tu toka ateuliwe na Rais Samia Suluhu ambapo moja ya alivyokutana navyo ni Hospital ya wilaya Songwe mkoani Songwe kutotoa huduma siku za jumamosi na jumapili kutokana na uhaba wa Watumishi wa afya.

DC Simalenga ametembelea hospital hiyo na kuagiza huduma zirejee maramoja na Wananchi wahudumiwe saa 24 siku 7 za wiki wakati upungufu huo wa Wafanyakazi ukifanyiwa kazi.

Taarifa imeeleza kwamba mahitaji ya Watumishi katika hospital hiyo ni 250 lakini waliopo sasa ni Watumishi 11 tu.
20210625_170239.jpg
20210625_170214.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom