Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Maisha ndio hayahaya acha nijiachie tuNakuona ulivyojiachia...
Maisha ndio hayahaya acha nijiachie tuNakuona ulivyojiachia...
Sana vinaelegea kama umekula kungu...Hahahha hivi huwa vinalegea kumbe
Eenh kumbe ndio yanavyokuwaSana vinaelegea kama umekula kungu...
Hapo bado hujapata chupa ya kijani... ukipata sasa ndiyo dahEenh kumbe ndio yanavyokuwa
Weee ndiyo mchizi wangu...
Na wewe ndio mchizi wangu mimi apaWeee ndiyo mchizi wangu...

Hahaha unavyonijaza sasaHapo bado hujapata chupa ya kijani... ukipata sasa ndiyo dah
Ila wewe katoto kazuri sana...Hahaha unavyonijaza sasa
Ila punguza ukorofi kidogo... hahahahaNa wewe ndio mchizi wangu mimi apa![]()
DahIla punguza ukorofi kidogo... hahahaha
hapo pa kupunguza ukorofi sijui kama nitaweza huwa najitahidi niweze ila nashindwa mwenyewe huwa sipendi ila sina jinsi
Na vikesi vyako vidogo vidogo...Dahhapo pa kupunguza ukorofi sijui kama nitaweza huwa najitahidi niweze ila nashindwa mwenyewe huwa sipendi ila sina jinsi