Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna Wakuu wa Wilaya wawili wateule kwenye hii post wote kutoka Mkoani Lindi, Hassan Ngoma ameteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, kabla ya uteuzi huo Ngoma alikuwa DAS Singida.

Kuna Hashimu Komba pia ambaye ameteuliwa kuendelea kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea. View attachment 1824364View attachment 1824366
Ndiyo tayari ashakua kwenye system ni kucheko kwenda mbele, ila u- DAS hauna hatari ya Kufukuzwa saa yoyote kama U- DC na U - RC...
 
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amewataka Wakuu wa Mikoa wote nchini kuwaapisha Wakuu wa Wilaya wapya walioteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kesho Jumatatu June 21, 2021 huku akisema kusiwe na kisingizio chochote.

Akizungumza leo Dar es Salaam Waziri Ummy amesema———-“Kama kuna sababu yoyote basi Jumanne zoezi liwe limekamilika kwasababu tunataka hadi Jumatano Wakuu wa Wilaya wote wawepo katika vituo vyao vya kazi, waende wakaripoti katika vituo vyao vya Kazi halafu baadaye ndio wanaweza kurudi kwa ajili ya taratibu za kuhama”
20210620_190919.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom