Makapuku Forum

Makapuku Forum

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Kherry James kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mkoani Dar es salaam.
20210620_110403.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Basilla Mwanukuzi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, Basilla aliwahi kuwa Miss Tanzania 1998.
20210620_110455.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Gabriel Zakaria kuwa Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Zakaria aliwahi kuwa Mtangazaji wa TBC.
20210620_110554.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mtangazaji Mwandamizi wa ITV/Radio One Abdallah Mwaipaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro.
20210620_110647.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mtangazaji Mwandamizi wa ITV/Radio One Abdallah Mwaipaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro.
20210620_110735.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mwigizaji Juma Chikoka maarufu Chopa Mchopanga kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rorya Mkoa wa Mara.
20210620_110828.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Afisa Uhusiano wa Clouds Media Group, Simon Simalenga kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mkoani Songwe.
20210620_111127.jpg
 
Kuna Wakuu wa Wilaya wawili wateule kwenye hii post wote kutoka Mkoani Lindi, Hassan Ngoma ameteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, kabla ya uteuzi huo Ngoma alikuwa DAS Singida.

Kuna Hashimu Komba pia ambaye ameteuliwa kuendelea kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea.
20210620_111252.jpg
20210620_111309.jpg
 
Rais Samia Suluhu amemteua Mtangazaji wa Azam Media, Fatma Nyangasa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mkoani Dar es salaam.
20210620_111417.jpg
 
Kuna Wakuu wa Wilaya wawili wateule kwenye hii post wote kutoka Mkoani Kilimanjaro, Said Mtanda ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Moshi, kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Nkasi.

Kuna Juma Irando pia ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Lengai Ole Sabaya ambaye uteuzi wake ulitenguliwa.
20210620_111603.jpg
20210620_111619.jpg
 
Wizara ya Afya Tanzania imesema imeanza kuona viashiria vya kutokea kwa wimbi la tatu la mlipuko wa Covid 19 Tanzania, hii ni kutokana na taarifa za ufuatiliaji wa mwenendo wa ugonjwa huu na mwingiliano wa Watu wa Tanzania na Watu wa Nchi jirani na Mataifa mengine Duniani katika shughuli za kiuchumi na kijamii.

"Tunakuwakumbusha Watanzania wote kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Covid 19, na tahadhari hii ya leo ni kutokana na hali ya mwenendo wa ugonjwa wa Covid 19 Duniani na ongezeko la maambukizi Afrika zikiwemo Nchi jirani ambazo zimekumbwa na wimbi la tatu la mlipuko wa Covid 19 na maambuki yameongezaka maradufu kuliko ilivyokuwa katika wimbi la pili”

"Kwa mujibu wa taarifa kutoka WHO iliyotolewa katika jarida la wiki ya 24 inayoanzia June 07 hadi June 13, 2021 katika Kanda ya Afrika idadi ya wagonjwa imekuwa ikiongezeka kwa wiki tano mfululizo “

"Mfano katia Wiki moja iliyopita Afrika Kysini, Uganda, Zambia, DRC, Namibia, Angola n.k zimeendelea kuonesha kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa isiyoshuka huku ikiripotiwa Nchi hzio kukumbwa na anuai ya virusi vipya vinavyosababisha Covid 19 kuwa kali zaidi na kuathiri hata mkundi ya wenye umri mdogo” ———-Mkurugenzi wa Idara ya Kinga - Wizara ya Afya, Dkt. Leonard Subi
View attachment 1824326
Hatutaki hizi taarifa na hatuziamini...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom