Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Poa kipenzi vipi weweMambooo!!!
Poa kipenzi vipi weweMambooo!!!
Tulitarajia hili kutokea muda sii mrefu...Rais Samia Suluhu amemteua Jaffar Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais IKULU akichukua nafasi ya Gerson Msigwa ambaye aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na pia wakati huohuo Msemaji Mkuu wa Serikali, kabla ya uteuzi huu Haniu alikuwa Mtendaji Mkuu wa Vyombo vya Habari vya Africa Media Group Limited. View attachment 1813567