Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Jumla ya TZS bilioni 328.2 zinatarajiwa kutumika kugharamia sensa ya mwaka 2022. Kwa mara ya kwanza katika historia ya sensa nchini, zoezi hilo litatumia teknolojia ya vishikwambi (tablets) katika utengaji wa maeneo ya kijiografia na ukusanyaji wa takwimu uwandani. #Bajeti2021