Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Rais Samia Suluhu leo ameagana na aliyekuwa Balozi wa China hapa nchini Wang Ke ambaye amemaliza kipindi chake.
Katika mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, Rais Samia amemshukuru Wang Ke kwa jitihada zake za kuendeleza na kukuza uhusiano wa Tanzania na China ambao umewezesha kutekelezwa kwa miradi mbalimbali iliyofadhiliwa na China ikiwemo Maktaba ya UDSM, Jengo la Wizara ya Mambo ya Nje na msaada wa Bilioni 35 zinazoelekezwa katika miradi ya Maendeleo, swipe kusoma habari yote.
Katika mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, Rais Samia amemshukuru Wang Ke kwa jitihada zake za kuendeleza na kukuza uhusiano wa Tanzania na China ambao umewezesha kutekelezwa kwa miradi mbalimbali iliyofadhiliwa na China ikiwemo Maktaba ya UDSM, Jengo la Wizara ya Mambo ya Nje na msaada wa Bilioni 35 zinazoelekezwa katika miradi ya Maendeleo, swipe kusoma habari yote.


