Mwisho wake mbona unastaajabishaAliyekua DC wa Hai Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake wamefikishwa kwenye Mahakama ya Wilaya iliyopo Sekei Arusha, kwa sasa yupo chumba cha Mahabusu Mahakamani hapa kabla ya kupandishwa kizimbani wakati wowote kuanzia sasa ili kujibu tuhuma zinazowakabili tutakufahamisha zaidi. View attachment 1808069View attachment 1808070View attachment 1808071View attachment 1808072
Za kuambiwa changanya na za kwako...Dereva mmoja wa Newton Marekani ameilaumu App ya GPS kwa kumdanganya njia na kujikuta kapanda kwenye mwinuko nje ya barabara baada ya App hiyo kumuonesha njia ipo hapo na panapitika.
Polisi wamesema ———> “hakuwa amelewa, anailaumu GPS kwani ndio alikua anaifata kumuongoza njia, hii sio kawaida… hata kama mnatumia gps tumieni na macho pia”
Msemaji wa Polisi amesema toka ameanza kufanya kazi Polisi miaka 37 iliyopita hajawahi kukutana na tukio kama hili ambapo hata hivyo amesema Dereva huyu hatoshtakiwa wala kutozwa faini yoyote kwa kilichotokea. View attachment 1808108View attachment 1808109
HahahhaZa kuambiwa changanya na za kwako...
🫂Hahahha
Nangoja...Niscreeshot nikutumie uone
Hahaha nimeshatumaNangoja...
Nimeona ahsante kwa muongozo...Hahaha nimeshatuma