Ahsante na wewe shangazi kwa kutuletea habari tuko pamojaAsante we mzee kwa kuyapitia
Mbona umekuwa adimu hivi jamani
Hizi Mask naona zinavaliwa na kuvuliwa !Hizi ni picha kutoka IKULU Dar es salaam zikionesha Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na Mfanyabiashara Alhaji Aliko Dangote pamoja na Viongozi mbalimbali wa Tanzania baada ya kikao kilichofanyika IKULU leo. View attachment 1796833View attachment 1796834View attachment 1796835View attachment 1796836
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Selemani Jafo amewateua Watangazaji wa Clouds Media Group Millard Ayo na kuwa Mabalozi wa Uhamasishaji Utunzaji wa Mazingira Nchini.
Waziri Jafo akiwa Dodoma amesema Mabalozi hao wameteuliwa kutokana na ushawishi wao kwa Jamii ili kuhamasisha utunzaji wa mazingira na upandaji miti.
Mabalozi wengine walioteuliwa ni pamoja na Haji Manara, Antonio Nugaz, Nandy, Harmonize, Idris Sultan, Monalisa, Mbunge Esther Matiko, Mbunge Joseph Musukuma, Diamond Platnumz, Mwandishi wa Radio Uhuru Sakina Abdulmasoud na May Zumo. View attachment 1796837
Mh na huyu yumo?Mbunge Esther Matiko
Nacheka hapa nimekaa na very cute adorable Lady pembeni yangu, so intelligent kasoma Uturuki, na anapenda make-up, na ana akili na maadili haswaa...
Tafiti zinapingwa kwa tafiti kama hivi tusiwaamini sanaNacheka hapa nimekaa na very cute adorable Lady pembeni yangu, so intelligent kasoma Uturuki, na anapenda make-up, na ana akili na maadili haswaa...
tafiti hizi nyingine hizi.. sijui wanachukua sampuli za watu wa wapi? 😀😀😀😀