Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nyota wa WWE John Cena ameomba radhi China kwa kutambua Taiwan kama nchi.

Muigizaji huyo na mwanamieleka wa zamani wa WWE alitaja Taiwan kuwa nchi katika video ya biashara ya filamu ya hivi punde ya Fast and Furious.

Hatua hiyo iliikasirisha China ambayo inachukulia Taiwan inayojitawala kuwa chini ya himaya yake.

Bwana Cena ameweka video nyingike katika mitandao ya kijamii akizungumza Kichina kuomba radhi kwa "kosa" hilo.
20210526_141027.jpg
20210526_141051.jpg
 
Mume bandia kwa ajili ya kupata nyumba ya kupangisha.

Mjini Lagos ni vigumu kwa wanawake wasio na waume kupangisha nyumba.
Wamiliki wa nyumba wanahisi kwamba wanawake ndio wanaoleta matatizo mengi mno, na wengi huwa na wasiwasi kwamba wanawake wanaoishi peke yao huenda ni makahaba na wanaweza kuwa na tabia ya kuleta kila aina ya wanaume majumbani mwao.

-
Wanawake mjini humu huwatafuta mwanamume ambaye pengine ni mjomba, binamu au rafiki ili waweze kufikia makubaliano ya kupata nyumba na mwenye nyumba au wakala moja kwa moja lakini ikibainika kwamba mwanamke huyo anadanganya basi mmiliki wa nyumba hiyo humfukuza.
20210526_141252.jpg
 
Habari wana JF

Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.

Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.

Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku Bitoz shukrani kwake


Karibu sana
makapuku, dah!! noma na nusu.
 
Mume bandia kwa ajili ya kupata nyumba ya kupangisha.

Mjini Lagos ni vigumu kwa wanawake wasio na waume kupangisha nyumba.
Wamiliki wa nyumba wanahisi kwamba wanawake ndio wanaoleta matatizo mengi mno, na wengi huwa na wasiwasi kwamba wanawake wanaoishi peke yao huenda ni makahaba na wanaweza kuwa na tabia ya kuleta kila aina ya wanaume majumbani mwao.

-
Wanawake mjini humu huwatafuta mwanamume ambaye pengine ni mjomba, binamu au rafiki ili waweze kufikia makubaliano ya kupata nyumba na mwenye nyumba au wakala moja kwa moja lakini ikibainika kwamba mwanamke huyo anadanganya basi mmiliki wa nyumba hiyo humfukuza.
View attachment 1798169
apo wajomba zangu Obe na Nigendako wanatamani kuhamia huko
 
Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimezindua kamati ya ushauri ya wadau wa kisekta itakayofanya kazi na kituo cha umahiri cha mafunzo ya taaluma za usafiri wa anga na operesheni za usafirishaji.

Akizungumza katika uzinduzi huo mkuu wa chuo hicho, Profesa Zacharia Mganilwa amesema kamati hiyo imezingatia mahitaji ya sekta binafsi ambapo asilimia 50 ya wajumbe wake wanatoka kwenye sekta binafsi.
20210526_161425.jpg
 
Serikali ya Tanzania imesaini mikataba ya mikopo miwili ya Dola140 milioni za Marekani (Sh323.39 bilioni) na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) kwa ajili ya kufadhili mradi wa kufua umeme wa Malagarasi mkoani Kigoma.

Mkopo huo umesainiwa leo Jumatano Mei 26, 2021 kati ya katibu mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Emmanuel Tutuba na mkurugenzi mkuu wa kanda ya mashariki wa AFDB, Nnenna Nwabufo.

Baada ya kusainiwa kwa mkataba huo, Tutuba amewaeleza waandishi wa habari kuwa kati ya fedha hizo Dola 120 milioni zinatolewa na AFBD na Dola20 milioni zinatolewa na mfuko ukuaji pamoja wa Afrika kutoka Serikali ya China.
20210526_161545.jpg
 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amezitaka wizara, taasisi na mamlaka mbalimbali kuhakikisha zinatenga bajeti kwa ajili ya kulipa fidia kabla ya kutwaa ardhi kutoka kwa wananchi.

Lukuvi ameyasema hayo leo Jumatano Mei 26,2021 wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2021/22.
20210526_161705.jpg
20210526_161756.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom