Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Nyota wa WWE John Cena ameomba radhi China kwa kutambua Taiwan kama nchi.
Muigizaji huyo na mwanamieleka wa zamani wa WWE alitaja Taiwan kuwa nchi katika video ya biashara ya filamu ya hivi punde ya Fast and Furious.
Hatua hiyo iliikasirisha China ambayo inachukulia Taiwan inayojitawala kuwa chini ya himaya yake.
Bwana Cena ameweka video nyingike katika mitandao ya kijamii akizungumza Kichina kuomba radhi kwa "kosa" hilo.
Muigizaji huyo na mwanamieleka wa zamani wa WWE alitaja Taiwan kuwa nchi katika video ya biashara ya filamu ya hivi punde ya Fast and Furious.
Hatua hiyo iliikasirisha China ambayo inachukulia Taiwan inayojitawala kuwa chini ya himaya yake.
Bwana Cena ameweka video nyingike katika mitandao ya kijamii akizungumza Kichina kuomba radhi kwa "kosa" hilo.

