Hufanya hivi kama njia ya kumkumbuka mwanzilishi wa Sufi, Moinuddin Chishti na pia kuonyesha uadilifu na kujitolea kwa imani yao.
NYONGEZA: Imani hii ya Sufi imekua ikipingwa vikali na waumini wa kiislamu (pure Muslims) kwa kusema kuwa hao sio waislamu na wala kwenye uislamu hakuna imani ya hivyo ila wao wenyewe wamekuwa wakijichukulia kama waislam wenye imani kali io ya Sufism.
View attachment 1766634