anko, binamu , ndugu natambua uwepo wako popote ulipo najua majukumu ya yanatufanya tupigane chenga ila salaam nazipokeaga ata kama hupendi nizipokee
azam nao kwa ynga huwa vibonde
ila hawa wezi wa vipuri wanatesa wananchi,
@Shunie....kwani huyo aliyesema mambo ya ufala, yeye anasemaje!?
Na misemo yetu ni mitamu, wazee wetu waliifikiri kabla ya kuitumia(fikiri kabla ya kutenda)...kaja kunitembelea, mgeni njoo mwenyeji apone, waswahili tuna misemo yetu maridadi sana
Nguo ya kuazima haistiri matako.....hapa ni home kabisa, tunasema home ni home hata kama kwa jirani kunafuka uturi
asante shunie kwa magazeti

Mimi tena jamani au wewe ndio ulisema@Shunie
Sitaki kuamini kama unafunga makaNguo ya kuazima haistiri matako.
Yupo mtafute pm au anaweza kuja apa ulivyomuuliziaHivi Rais wa Makapuku Bitoz aliishia wapi??
Wewe si ndio ulisema tunaochelewa kulala, na kutumia matusi(ufala) tunaakiliMimi tena jamani au wewe ndio ulisema


Amin shunie akee nimefunga, nimefunga mlango, kamaba za viatu, vishikizo.. Koo, macho, masikio mpaka zipu, tena zipu naifungua wakat wa kukojoa tu..Sitaki kuamini kama unafunga maka

Sijui hata yuko wapi tozi nyangema..Hivi Rais wa Makapuku Bitoz aliishia wapi??
Hahahah nimeshasahauWewe si ndio ulisema tunaochelewa kulala, na kutumia matusi(ufala) tunaakili
![]()
Aujafunga bwana ungesema makalioAmin shunie akee nimefunga, nimefunga mlango, kamaba za viatu, vishikizo.. Koo, macho, masikio mpaka zipu, tena zipu naifungua wakat wa kukojoa tu..
Na koo nalifungua jionii wakati wa kufuturu..
Lakini shunie, tako si sehemu ya mwili tu kama mkono jamani!!
Kwahiyo nikisema nguo ya kuazima haistri matako ndio sijafunga![]()