Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Wa nini bwanaToa muongozo...
Wa nini bwanaToa muongozo...
🤔Ebu niwazie basi
Nakusindikiza nimekubali kingine
Nisindikize basi...
Yaani mmeshangaa sana!Waongee wanyamazishwe
Hakuna kulilia kurudi nyumbani...Nakusindikiza nimekubali kingine
Yani natamani tu ningekuwa karibu na babe namuegemea egemea tu mimi jamani babe![]()





Kweli na hii hali ya hewa leo nalala peke yangu mimi.![]()
Sililii bwana na hii hali ya hewaHakuna kulilia kurudi nyumbani...
Kitakachokukuta siri yako...
![]()
Ninae bwana ila yupo mbali na mimiHuna bebi?!!!![]()
Kukuacha kwioo!!ushapata wa kukubambia!!!Niacheee
Mfate!!!sasa au mbaali saaanaNinae bwana ila yupo mbali na mimi
Angalizo tu, hali ya hewa ya mvua hua inakuja na kifurushi cha mimba...Sililii bwana na hii hali ya hewa
Hahahahaha una nini lakiniUnajishauaaaa!!![]()
Sio nimepata ninayeKukuacha kwioo!!ushapata wa kukubambia!!!
Abeeee!!!!Hahahahaha una nini lakini
Hahahhaah atanifata ebu niache bwanaMfate!!!sasa au mbaali saaana
Hakuna shidaAngalizo tu, hali ya hewa ya mvua hua inakuja na kifurushi cha mimba...

Kumbeee!!!Sio nimepata ninaye
Babe unaona sasa rayna anavyoniambia


...sasa kwani yumo humu?!!au anaona maswali yangu?!!




