Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Kumbeee!!!Sio nimepata ninaye
Babe unaona sasa rayna anavyoniambia


...sasa kwani yumo humu?!!au anaona maswali yangu?!!





Kumbeee!!!Sio nimepata ninaye
Babe unaona sasa rayna anavyoniambia


...sasa kwani yumo humu?!!au anaona maswali yangu?!!





Kumbeee!!!...sasa kwani yumo humu?!!au anaona maswali yangu?!!
![]()





Anapita kusoma kwa browser








sasa naomba asome hapa!Shemeji yangu Leo nna hamu ya nyama choma Fanya mauamala baasi nami nijipoooze!!!














!!!!Dada sikuelewii!!!?!!!jamani baby wa Shuuu....!!!mpk mda huu hujafanya mambo?!!!!loooh!!!tena wikiendi leoBabe hii hali ya hewa hapana usiniache peke yangu
sasa naomba asome hapa!Shemeji yangu Leo nna hamu ya nyama choma Fanya mauamala baasi nami nijipoooze!!!
!!!!






Hahahahah niache bwana nanena zangu kwa lugha yanguDada sikuelewii!!!?!!!jamani baby wa Shuuu....!!!mpk mda huu hujafanya mambo?!!!!loooh!!!tena wikiendi leo
Dada mpk tuonane wakati miye hamu Leo!uchoyo umeanza lini!!halafu usimfunze shemeji roho mbayaa!!!muache afanye yake bwana!!
Nacheka kama chizi nyama choma utakula siku tukionana






!!!Mmmhh!!km siamini amini hivii!!!!Hahahahah niache bwana nanena zangu kwa lugha yangu
Hiyo hamu isubiri mpaka tuonane halafu nitanunua na chupa ya wineDada mpk tuonane wakati miye hamu Leo!uchoyo umeanza lini!!halafu usimfunze shemeji roho mbayaa!!!muache afanye yake bwana!!!!!
Unachoamini ni nini etiMmmhh!!km siamini amini hivii!!!!
Uko na bebeUnachoamini ni nini eti
Daaaaaah sema imenipigaa na huu msiba nmekomaMvua ya kukumbatiwa na babe![]()
Kweli tukionana unanidai hivyo vitu nyama choma na chupa ya wine
Kwenye msafara wa mambo na kenge nao siyo mbaya wakiwemo..Kweli tukionana unanidai hivyo vitu nyama choma na chupa ya wine
Unahama hama...Hali ya hewa ya kupata chupa za kijani![]()