Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza kifo cha Mama Mzazi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Simoni Sirro Monica Tongori Nyabyamari kilichotokea usiku wa kuamkia leo April 10,2021 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es saalam alikokuwa akitibiwa.
Msiba upo nyumbani kwa IGP Sirro Masaki, Dar es Saalam karibu na kwa Hayati Benjamini Mkapa na ratiba ya mazishi itatolewa baadaye.
Msiba upo nyumbani kwa IGP Sirro Masaki, Dar es Saalam karibu na kwa Hayati Benjamini Mkapa na ratiba ya mazishi itatolewa baadaye.