PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,105
- 14,356
hapo 5:0Hapo ilikuwa mwaka gani?

hapo 5:0Hapo ilikuwa mwaka gani?

Nzuri shem, mambo niaje?Habar ya jion
Ni poa shemNzuri shem, mambo niaje?
hapo 5:0![]()
Swadaktaaaa mkuuhaitosaidia kitu, watapigwa tu..
Simba Nguvu Moja
Mkuu leo umetinga mapema, mzima?
hapo 5:0![]()
Manji hataki kuondoka Yanga kwa sababu ya hiyo namba 5
ana imani atarejeshaFresh mkuu.....Iko njema sana kaka. Niaje kwako?
Mkuu ndoto za kihindi ni mbaya sana,..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ana imani atarejesha
Manji hataki kuondoka Yanga kwa sababu ya hiyo namba 5
Ni nzuri shem. Jioni yako vipi?Ni poa shem
Habar ya wewe??
R.i.p Patrick Mutesa Petii Mafisango...moja kati ya wachezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi yetu kando ya Okwi, Niyonzima na Kipre.![]()
Mmekula pesa ya rambirambi....kawaachia laana
R.I.P Papaa
........... .....
hahaha ndio maana najiita Mussolin5 hiyo tano inawakilisha mambo mengi mno mojawapo ni kipigo cha Yanga cha goli 5Manji hataki kuondoka Yanga kwa sababu ya hiyo namba 5