Makapuku Forum

Makapuku Forum

20210401_052438.jpg
20210401_052455.jpg
 
Mabadiliko madogo ya serikali.
Fedha – Mwigulu
Tamisemi – Ummy Mwalimu
Muungano – Suleiman Jafo
Utumishi Mohamed Mchengelwa
Mambo ya Nje – Libelata Mulamula
Katiba sheria – Kabudi
Viwanda biashara – Kitila Mkumbo
Uwekezaji – Geophrey Mwambe
Kazi Maalum – Mkuchika

Mifugo Naibu waziri – Abdalah Ulega
Habari Naibu waziri – Pauline Gekul
Naibu waziri – Afya - Mwanaidi Ally Hamisi
Naibu mambo ya nje – Mbarouk Mbarouk
Naibu katiba sheria – Geophrey Pinda
Naibu Muungano – Hamad Said Chande
Naibu Fedha – Masauni Hamad
Naibu Uwekezaji – William ole tate

Katibu Mkuu Kiongozi - Hussein Katanga
Wabunge wateule
Bashiru Ally
Mbarouk Mbarouk
Libelata Mulamula
Mitano tena kwako mama D!
 
Wachezaji watano wa Timu ya Taifa Benin waliosababisha mechi kati yao vs Sierra Leone kuahirishwa kwa kudaiwa kukutwa na maambukizi ya corona, wamepimwa kwa mara nyingine wakiwa Uwanja wa Ndege na kugundulika hawana corona (negative).

Benin waligoma kucheza vs Sierra Leone baada ya kudai kuwa Sierra Leone imefoji matokeo ya corona ya Wachezaji hao ili wakosekane kwenye mechi ili Sierra Leone ishinde kirahisi lakini hata hivyo mechi hiyo iliahirishwa hadi June.

Hii sasa imekua kama tabia kwa baadhi ya Timu Wenyeji Afrika kutumia kigezo cha Wachezaji kukutwa na corona ili kudhoofisha Timu ngeni, Uganda wakiwa Malawi walikutana na kesi kama hii lakini baada ya mvutano baadae Wachezaji hao waliruhusiwa kucheza.
20210401_130009.jpg
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dr. Bashiru Ally akiwasili Bungeni leo kwa ajili ya kuapishwa baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan jana kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku nafasi yake ya Ukatibu Mkuu Kiongozi ikichukuliwa na Balozi Hussein Kattanga.
20210401_130235.jpg
20210401_130301.jpg
20210401_130320.jpg
 
Waziri wa Mambo ya Nje Balozi Liberata Mulamula akiingia katika VIwanja vya Bunge, Mulamula ameteuliwa jana kuchukua nafasi ya Kabudi ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Katiba na Sheria.
20210401_130519.jpg
 
Waziri Mteule wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Liberata Mulamula akila kiapo cha uaminifu Bungeni leo baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu jana kuwa Mbunge.
20210401_130656.jpg
 
Naibu Waziri Mteule wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mbarouk Nassor akila kiapo cha uaminifu Bungeni leo baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu jana kuwa Mbunge.
20210401_130807.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom