Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
“Watanzania sasa hawana hofu chini ya Uongozi wako Rais Samia Suluhu, nawaomba waendelee kukuombea, na Mimi pia wasinisahau waniombee ili niwe Makamu wa Rais Mnyenyekevu, niwe Makamu wa Rais anayesimamia Wananchi wanyonge”- Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango baada ya kiapo Ikulu ya Chamwino Dodoma leo jioni
“Nawashukuru Wapiga kura wangu wa Buhigwe wamefanya Rais ukaniona na kuniteua kuwa Makamu wa Rais, nawaomba Buhigwe CCM itawaletea Wabunge makini msifanye makosa warudisheni Wabunge wa CCM, nawashukuru pia Watanzania wote”- MPANGO
“Nawashukuru Wapiga kura wangu wa Buhigwe wamefanya Rais ukaniona na kuniteua kuwa Makamu wa Rais, nawaomba Buhigwe CCM itawaletea Wabunge makini msifanye makosa warudisheni Wabunge wa CCM, nawashukuru pia Watanzania wote”- MPANGO
mtoto mlito
kwa wasiolewa si ndio inazidi jamani