Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 166,695
- 185,192
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Mipango na Fedha akichukua nafasi ya Dr.Philip Mpango ambaye ameapishwa leo kuwa Makamu wa Rais.View attachment 1739565
Huyu hapana kua hiyo wizara...