Makapuku Forum

Makapuku Forum

History uncovered.....

Meet Chief John Smith, a Chippewa Indian who lived in the woods near Cass Lake, Minnesota until his death in 1922 — reportedly at age 137. Though the U.S. government and other scholars claim he may have actually been younger than 90, Smith stuck to his claim and never backed down.
FB_IMG_1616731232391.jpg
 
Weekend ndefu hii ...wale wapenzi wa movie ni mwendo wa kupitia popcorns za kutosha

Movie: Trust
Year: 2021
Genres: Drama, Romance
Country: United States
Rates: 5.6/10

Hii sio ya kuangalia na watoto ....

Story line

Mke na Mme mapenzi yao yalianzia since High School, Wakiwa kwenye ndoa Mke anakuja kugundua Mme wake ana mcheat.

Hapo kati kuna twist twist za hapa na pale sisemi ukitazama utaziona mwenyew ila point kuu, Mke alipata nafasi ya kwenda kufanya mishe fulani Paris na alitakiwa kwenda na Artist mmoja ambae anafanya kazi kwa ukaribu na Mme wake.

Lakini ikaja ishu ni kumwambia Mme wake amruhusu aende Paris wakati huo Mme wake aliwahi kumuomba masiku kadhaa watoke wote kwenda kupumzika Paris na Wife alikataa.

Sasa Wife anafanya mchezo mmoja mbaya sana, Kwa attention anazojua mwenyewe anamfanyia mchezo Mme wake kwa kumkodi bidada mmoja am seduce lakini alimpa sharti la kuto ku kwichi kwichi nae
IMG-20210313-WA0013.jpg
 
Movie: V.C. Andrews' Ruby
Year: 2021
Genres: Drama
Language: English
Country: United States
Rates: 7.2/10
Iko namna hii

Ruby anasoma na ana date na Paul ambae wanasoma wote. Lakini kuna siri nzito kuhusu Wazazi wake sababu kwa wakati huo Ruby analelewa na Bibi yake.

Maisha yanakuja kubadilika baada ya Bibi kufariki then Wazazi wa Paul wanamzingua kwamba hatakiwi kuwa na kijana wao, Chapter mpya ya maisha inafunguka.

Icheki hutojutia mda wako
View attachment 1734605
 
Wapenzi wa Korea

Movie: Okay! Madam
Year: 2020
Genres: Action, Comedy
Language: Korean
Country: South Korea
Rates: 6.5/10

Mi-Young alikua anafanya kazi as Restaurant Manager na Mme wake Seok-Hwan alikua ni Computer Repaiman. Kuna siku Seok anapata Free trip ya kwenda Hawaii ku enjoy.

Akambeba Baby Mama kama kawaida,Na hiyo ndiyo ilikua safari yao ya kwanza katika maisha yao kwenda nje ya nchi yao. Bahati haikuwa yao, Ndege waliyopanda kumbe kuna Magaidi wamo humo baadae wanateka ndege na kushikilia abiria wote kama mateka
Screenshot_20210326-073300_Chrome.jpg
 
Wapenzi wa series hii haijaenda mbali sana ...

Series: The Falcon and the Winter Soldier
Year: 2021 - 2021
Genres: Action, Adventure, Drama, Sci-Fi
Language: English
Country: United States
Rates: 8.9/10
Seaon 1 episode 1
Screenshot_20210326-073941_Chrome.jpg
 
Wale wa uturuki ,

Series: Sol Yanim | My Left Side
Year: 2020 - 2021
Genres: Drama, Romance, Youth
Language: Turkish
Country: Turkey
Rates: 6.2/10

Serra anaishi na Mama yake tu na anasoma Chuo, Mama yake ana matatizo kidogo ya akili hivyo muda wote yupo nyumbani na hafanyi chochote zaidi ya Serra ambae akitoka Chuo then inabidi apitie kwenye Part time jobs kwaajili ya kusogeza mbele maisha yao.

Lakini hapo kabla walikua na maisha mazuri sana, Lakini mambo yalikuja kubadilika. Chanzo kilikua ni nini? Vipi kuhusu Baba yake na ndugu wengine wa kumsaidia?

Screenshot_20210326-074234_Chrome.jpg
 
Series: Hache
Year: 2019 -
Genres: Crime, Drama, Thriller
Language: Spanish
Country: Spain
Rates: 6.4/10
TV-MA 50M

Mme wake anafungwa jela, Helena anataka kupambana kumtoa, Inatakiwa apate Wakili wa nguvu ambae gharama yake ni kubwa pia na yeye hana pesa hiyo.

Helena anapata kazi kwa Gangster mmoja anaitwa Malpina ambae alikuwa anauza Heroin. Mambo yanaanza kubadilika ni baada ya Polisi kuanza kuchunguza vifo vilivyoanza kutokea mfululizo ambavyo vina link na biashara za madawa.

Kwenye Ulimwengu wa kimafia Helena alikuwa anafahamika kwa jina la Hache,
Screenshot_20210326-074501_Chrome.jpg
 
Series: Behind Her Eyes
Year: 2021 - 2021
Genres: Drama, Mystery, Thriller
Language: English
Country: United Kingdom

Haichoshi na sio ndefu sana, Louise ni singo Mama ana mtoto wake wa kiume. Anaanza kufanya kazi as Part time kwenye Ofisi ya kuhudumia watu wenye matatizo ya akili.

Akiwa kwenye hiyo Ofisi anaanza kutoka kimapenzi na Boss wake then baadae ana form urafiki na Mke wa Boss...Lakini kuna siri nzito between Boss na Mke wake kitu ambacho kitamtesa baadae Louise.
images.jpg
 
Weekend ndefu hii ...wale wapenzi wa movie ni mwendo wa kupitia popcorns za kutosha

Movie: Trust
Year: 2021
Genres: Drama, Romance
Country: United States
Rates: 5.6/10

Hii sio ya kuangalia na watoto ....

Story line

Mke na Mme mapenzi yao yalianzia since High School, Wakiwa kwenye ndoa Mke anakuja kugundua Mme wake ana mcheat.

Hapo kati kuna twist twist za hapa na pale sisemi ukitazama utaziona mwenyew ila point kuu, Mke alipata nafasi ya kwenda kufanya mishe fulani Paris na alitakiwa kwenda na Artist mmoja ambae anafanya kazi kwa ukaribu na Mme wake.

Lakini ikaja ishu ni kumwambia Mme wake amruhusu aende Paris wakati huo Mme wake aliwahi kumuomba masiku kadhaa watoke wote kwenda kupumzika Paris na Wife alikataa.

Sasa Wife anafanya mchezo mmoja mbaya sana, Kwa attention anazojua mwenyewe anamfanyia mchezo Mme wake kwa kumkodi bidada mmoja am seduce lakini alimpa sharti la kuto ku kwichi kwichi nae View attachment 1734598
Yaani wasikwichikwichi ilhali wife kasafiri?
Pagumu hapo
 
Weekend ndefu hii ...wale wapenzi wa movie ni mwendo wa kupitia popcorns za kutosha

Movie: Trust
Year: 2021
Genres: Drama, Romance
Country: United States
Rates: 5.6/10

Hii sio ya kuangalia na watoto ....

Story line

Mke na Mme mapenzi yao yalianzia since High School, Wakiwa kwenye ndoa Mke anakuja kugundua Mme wake ana mcheat.

Hapo kati kuna twist twist za hapa na pale sisemi ukitazama utaziona mwenyew ila point kuu, Mke alipata nafasi ya kwenda kufanya mishe fulani Paris na alitakiwa kwenda na Artist mmoja ambae anafanya kazi kwa ukaribu na Mme wake.

Lakini ikaja ishu ni kumwambia Mme wake amruhusu aende Paris wakati huo Mme wake aliwahi kumuomba masiku kadhaa watoke wote kwenda kupumzika Paris na Wife alikataa.

Sasa Wife anafanya mchezo mmoja mbaya sana, Kwa attention anazojua mwenyewe anamfanyia mchezo Mme wake kwa kumkodi bidada mmoja am seduce lakini alimpa sharti la kuto ku kwichi kwichi nae View attachment 1734598
Hapo kwenye kumkataza kukwichi kwichi imekula kwake
 
Watu mbalimbali wameendelea kuingia hapa Uwanja wa Magufuli Chato Mkoani Geita panapofanyika ibada ya kumuaga Hayati Dr. John Pombe Magufuli ambae anazikwa leo nyumbani kwake Chato.

Kwenye picha ya kwanza ni Mwigizaji Kajala akizungumza na Mwigizaji Hamisa Mobetto, picha ya pili ni Msemaji wa Simba SC. Hajis Manara akiwa kwenye mahojiano, Msanii Harmonize na Mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde.
20210326_090257.jpg
20210326_090316.jpg
20210326_090333.jpg
20210326_090350.jpg
 
Ndugu watano wa Familia moja waliofariki kutokana na msongamano mkubwa uliotokea wakati wa kumuaga Hayati Dr. John Pombe Magufuli Uwanja wa Uhuru, wamezikwa jana kwa pamoja kwenye makaburi ya Familia yao yaliyopo nyumbani kwao Kimara Mwisho Dar es salaam.

Ndugu hao ni Suzan Mtuwa pamoja na Watoto wanne ambao aliongozana nao wakiwemo Watoto wake wawili aliozaa na Mumewe Denis Mtuwa ambao ni Natalia na Nathaniel, pia Watoto wawili wa Kaka zake Denis ambao ni Chris na Michelle.

Kwenye tukio hilo Suzan aliongozana pia na Dada wa Kazi aitwaye Anitha ambaye na yeye pia amefariki Dunia na taratibu za mazishi yake zinaendelea.

Kwa sasa Denis Mtuwa amempoteza Mkewe Suzan na Watoto wake wawili (Natalia na Nathaniel) na sasa amebaki na Mtoto mmoja mdogo ambaye siku ya tukio hakwenda Uwanjani.
20210326_091230.jpg
20210326_091248.jpg
20210326_091316.jpg
20210326_091339.jpg
20210326_091358.jpg
20210326_091415.jpg
 
Ndugu watano wa Familia moja waliofariki kutokana na msongamano mkubwa uliotokea wakati wa kumuaga Hayati Dr. John Pombe Magufuli Uwanja wa Uhuru, wamezikwa jana kwa pamoja kwenye makaburi ya Familia yao yaliyopo nyumbani kwao Kimara Mwisho Dar es salaam.

Ndugu hao ni Suzan Mtuwa pamoja na Watoto wanne ambao aliongozana nao wakiwemo Watoto wake wawili aliozaa na Mumewe Denis Mtuwa ambao ni Natalia na Nathaniel, pia Watoto wawili wa Kaka zake Denis ambao ni Chris na Michelle.

Kwenye tukio hilo Suzan aliongozana pia na Dada wa Kazi aitwaye Anitha ambaye na yeye pia amefariki Dunia na taratibu za mazishi yake zinaendelea.

Kwa sasa Denis Mtuwa amempoteza Mkewe Suzan na Watoto wake wawili (Natalia na Nathaniel) na sasa amebaki na Mtoto mmoja mdogo ambaye siku ya tukio hakwenda Uwanjani. View attachment 1734635View attachment 1734636View attachment 1734637View attachment 1734638View attachment 1734639View attachment 1734640
Sema hii ni ngumu kuamini ...

Mungu waongoze hawa wanafamilia
 
Watu mbalimbali wameendelea kuingia hapa Uwanja wa Magufuli Chato Mkoani Geita panapofanyika ibada ya kumuaga Hayati Dr. John Pombe Magufuli ambae anazikwa leo nyumbani kwake Chato.

Kwenye picha ya kwanza ni Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini Peter Msigwa, picha ya pili ni Fred Lowasa, kuna picha nyingine ya Mdee na picha za Viongozi wengine na Wananchi wa Chato wakisubiri kuaga mwili.View attachment 1734854
20210326_130045.jpg
20210326_130020.jpg
 
Hizi ni picha nyingine kutoka Uwanja wa Magufuli Chato inapofanyika Ibada ya kumuaga Hayati Dr.John Pombe Magufuli, kwenye hizi picha kuna Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo akiwa na Mbunge Musukuma na kuna picha za Manara, Hamisa, Kajala, JB na Rich.
20210326_130402.jpg
20210326_130420.jpg
20210326_130443.jpg
20210326_130502.jpg
 
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Kikwete na Mke wake Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Mchinga, Lindi wakiwasili Uwanja wa Magufuli, Chato inapofanyika Misa Takatifu ya mazishi ya Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
20210326_130957.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom