Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr.John Pombe Magufuli tayari amezikwa kwenye makaburi ya Familia nyumbani kwao Chato leo Ijumaa March 26,2021.
20210326_175230.jpg
 
Mjane wa Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Mama Janeth Magufuli akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la Hayati Magufuli muda mfupi baada ya maziko yaliyofanyika kitaifa Chato leo.
20210326_202410.jpg
20210326_202429.jpg
20210326_202452.jpg
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Magufuli Chato leo.
20210326_214115.jpg
20210326_214130.jpg
 
Watoto wa Hayati Dr. John Pombe Magufuli wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Baba yao, aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Magufuli Chato leo.
20210326_214237.jpg
20210326_214257.jpg
20210326_214313.jpg
 
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete na Mkewe Salma Kikwete wakiweka Shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli Chato leo.
20210326_214505.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom