Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
”KWAHERINI”
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Mkuu wa Majeshi, Jenerali, Venance Mabeyo, Waziri wa Mambo ya Nje, Prof Palamagamba Kabudi wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa kumuaga Hayati Rais Dkt John Magufuli hapa Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba.
Pichani nyuma kuna picha yenye taswira ya Hayati Rais Dkt John Magufuli akipunga mkono wake wa kuume. Alama hii yaweza kumaanisha salamu lakini pia kuaga (kwaheri). Kwa nyakati za sasa ni wazi kuwa tafsiri ya kuaga ni sahihi zaidi. Huu ni mkono wa kwaheri. Kwaheri Chuma, Au Revoir, Adios, Goodbye Mr President. Pumzika kwa amani.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Mkuu wa Majeshi, Jenerali, Venance Mabeyo, Waziri wa Mambo ya Nje, Prof Palamagamba Kabudi wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa kumuaga Hayati Rais Dkt John Magufuli hapa Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba.
Pichani nyuma kuna picha yenye taswira ya Hayati Rais Dkt John Magufuli akipunga mkono wake wa kuume. Alama hii yaweza kumaanisha salamu lakini pia kuaga (kwaheri). Kwa nyakati za sasa ni wazi kuwa tafsiri ya kuaga ni sahihi zaidi. Huu ni mkono wa kwaheri. Kwaheri Chuma, Au Revoir, Adios, Goodbye Mr President. Pumzika kwa amani.