Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tayari mwili wa Hayati Dr. John Pombe Magufuli umefikishwa Mwanza Airport ambapo umepokelewa na Viongozi mbalimbali wa Serikali wakiongozwa na Waziri Mkuu Majaliwa.
20210324_161255.jpg
20210324_161312.jpg
20210324_161344.jpg
20210324_161400.jpg
20210324_161418.jpg
 
Mwanamuziki Mkongwe wa Muziki kutoka Congo Koffi Olomide ameelezea kusikitishwa kwake kufuatia kifo cha Hayati Dr.John Pombe Magufuli na ametuma pia salamu za rambirambi kwa Familia ya Marehemu na Watanzania wote kwa ujumla.

“Hayati Magufuli ameondoka mapema, moyoni mwangu najiona kuwa Mimi ni Mtanzania, najua upendo wenu kwa Koffi na mnajua upendo nilionao kwa Watanzania, Dr.Magufuli alikuwa ni Rais wangu pia ndio maana naumia”- Koffi
20210324_162152.jpg
 
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda na Waombolezaji wengine wakitoa heshima zao za mwisho kwa Hayati Dr.John Pombe Magufuli kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza leo.
20210324_162934.jpg
20210324_162950.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom