Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahahahahahahaa kama nakuonaa voice notes na yale malalamiko ya kukuvurugaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] naanzaje jamani nitamkaribisha wifi yangu vizuri sana

Nitamwambia wifi huyu mtu mpende kama alivyo yeye na tabia zake kama utaziweza kuzivumila utakuwa wifi yangu wa taifa [emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] naanzaje jamani nitamkaribisha wifi yangu vizuri sana

Nitamwambia wifi huyu mtu mpende kama alivyo yeye na tabia zake kama utaziweza kuzivumila utakuwa wifi yangu wa taifa [emoji1787]
Hahahahahahahahahah mm mbona sijamwambiaa baby wako mpyaa kuwa ukikasirikaaa unafunga mlango hutak akuonee

Namuoneaaa hurumaaaaa
 
Hahahahahahahahahah mm mbona sijamwambiaa baby wako mpyaa kuwa ukikasirikaaa unafunga mlango hutak akuonee

Namuoneaaa hurumaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Block & unblock hizo hazikwepeki lazima zihusike [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sana
 
Hahahahahahahaha utasikiaa kiukwelii niachee kwa sasa niachee jaman na maisha yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa je me nataka stress zaidi, mwenyewe niko na mastress yangu lundo halafu tena uje uniongezee stress zangu niache na maisha yangu endelea na maisha yako [emoji1787] ili tusionane zaidi na block inakuhusu
 
Back
Top Bottom