Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Haswaa, huwa wanabadili mwisho wanakimbia JF




Kumbe ndio inavyokuwa hilo pepo la kubadili I'd lishindwe kwangu
Haswaa, huwa wanabadili mwisho wanakimbia JF




Kumbe ndio inavyokuwa hilo pepo la kubadili I'd lishindwe kwangu
Anko wako alikumiss kila siku anasema shunie umeshindwa nini kumchomoa anko kwenye selfie kule kaweka kambi kabisa au ametekwaNawe pia anko,tunashukuru Mungu tumeuona



Kuanza maisha upya mkoa ambao haujauzoea ngumu sana
Baba wawili acha tu nipambane na joto langu ukuuku

Umeona eenh sasa hayo mambo ndio sitaki yanikute acha nipambane hukuhuku nilipozoea baba wawili![]()
Ni kweli Shunie, lazima upate changamoto zake maana unakuwa mgeni hasa kwenye mambo ya utafutaji
Anko wako alikumiss kila siku anasema shunie umeshindwa nini kumchomoa anko kwenye selfie kule kaweka kambi kabisa au ametekwa
Namwambia huwa namwita ananiambia anakuja halafu kimya



hatimaye umefanikisha shunie
Hahahhah baba wawili umeanzahatimaye umefanikisha shunie
Moud we mnyakyusa eenhMchana mwema View attachment 1672804
Baby ex mkuuMoud we mnyakyusa eenh
Hapana, mi ni wa hapahapa.Moud we mnyakyusa eenh
AbeehBaby ex mkuu
Nilivyoona hiko chakula nikajua we wa ukoHapana, mi ni wa hapahapa.
Niliwahi kula chakula hicho huko Mbozi.
Kwa nn uliniachaAbeeh
Kwa nn uliniacha






me mtu mzima ujue sitaki kuwapa watu faida ngoja nikuje WhatsApp kukujibu
Hahahahahahahahha vn sitakiiii tenaaame mtu mzima ujue sitaki kuwapa watu faida ngoja nikuje WhatsApp kukujibu
Hahaha sasa nitakujibu vipi zaidi ya vnHahahahahahahahha vn sitakiiii tenaaa