Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kwa mkapa patamu
Asantee sana mkuu wangu exHahhaha si najua asubuhu lazima watu wapitie magazeti
Halafu we mzee tatizo umeadimika sana humu
UpigajiNaibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI David Silinde amemkabidhi Mwalimu Mkuu wa Ikhanoda Secondary, Wilayani Singida, Omary Selestine kwa Polisi na TAKUKURU baada ya kugundua matumizi mabaya ya fedha za umma katika ujenzi wa bwalo la chakula la wanafunzi wa shule hiyo.
Hayo yamejiri baada ya Silinde kufanya ziara katika shule hiyo kukagua mradi wa lipa kutokana na matokeo ambao shule hiyo walipewa kwa ajili ya ujenzi wa bwalo lakini mpaka sasa fedha zaidi ya milion 50 zimetumika huku ujenzi ukiwa katika hatua ya msingi.
"Huwezi nunua bati za milioni 70 unataka kujenga nini?, au unanunua tofali kwa Tsh. Elfu 5 ni tofali aina gani?, mchukueni huyu mwalimu na kamati nzima ya ujenzi wakaeleze wametumiaje fedha za ujenzi wa mradi huu”-Silinde
Silinde pia amemsimamisha kazi Mwalimu Mkuu huyo na kuvunja kamati ya ujenzi ya shule hiyo na kumvua madaraka Ofisa Mtendaji wa Kata hiyo baada ya kushindwa kusimamia ujenzi wa bwalo la chakula katika shule hiyo.View attachment 1672371
Mh unasema hivyo halafu baadae unatukimbiaMambo mengi Shangazi lkn now nitakuwepo sana tu
He he ex babe bwanaAsantee sana mkuu wangu ex





Upoje lakini we mtu
Na mimi ntapataa wa kunipa hayoo mahaba ...usije kuninuniaa lakinHe he ex babe bwana
Upoje lakini we mtu
Ila huwez kupata aliyekupendaa kama mimi si ndio ex wangu mkuuUpoje lakini we mtu
Njema, hali yako ShunieHatujambo moud habari
Mimi huyu kila la heri mpenzi tena nitamwita wifiE
Na mimi ntapataa wa kunipa hayoo mahaba ...usije kuninuniaa lakin





Usiseme uliyenipenda sema na hautapata kivuruge kama mimiIla huwez kupata aliyekupendaa kama mimi si ndio ex wangu mkuu
Au nadanganya?

Safi kabisaNjema, hali yako Shunie
Now nipo Shunie wanguMh unasema hivyo halafu baadae unatukimbia
Hahahaha, tena nimerudi na Nguvu zote 2021Woyoooooo baba wawili mjomba ako karudi