HahahhaTaratibuuuuuuu bhasiii usimwageeee hapa ya moyon ni kwa voice note mbona unajisahau



Hivi kwann watu wanabadili I'd ?Yna2 bwana sasa ndio nini tena na kubadili I'd najiuliza huyu nani tena ananipa likes kumbe kibonge mwenzangu![]()
Hahahahha we mzee me najibu vipi sasa hapa na sijawahi kubadiliHivi kwann watu wanabadili I'd ?


mimi bwana nitakomaa na I'd yangu hiihii sibadili chochote hata itokee niniSafi ,usibadili, ukiona MTU kabadili ujue huyo tayari ana makando kandoHahahahha we mzee me najibu vipi sasa hapa na sijawahi kubadilimimi bwana nitakomaa na I'd yangu hiihii sibadili chochote hata itokee nini
Safi ,usibadili, ukiona MTU kabadili ujue huyo tayari ana makando kando




naanzaje kubadili we mzee ili niwape faida watu wa jf nakomaa na I'd yangu hii hii mwanzo mwishoKwema Shunie, huku mvua na baridi kaliSafi baba wawili za wewe apo
Safi usiwape nafasi watu waongeenaanzaje kubadili we mzee ili niwape faida watu wa jf nakomaa na I'd yangu hii hii mwanzo mwisho
Na kama kuongea basi waongelee i'd yangu hii hii ya shunieSafi usiwape nafasi watu waongee
Baba wawili mna raha jamani uko kila sikuKwema Shunie, huku mvua na baridi kali
Heshima yako Mjombaa na heri ya mwaka mpyaSafi usiwape nafasi watu waongee
Ha ha unaona kama tuna faidi eehBaba wawili mna raha jamani uko kila siku
Yaani baba wawili acha tu natamani ningekuwa ukoHa ha unaona kama tuna faidi eeh
Hamia huku shunieYaani baba wawili acha tu natamani ningekuwa uko
Hamia huku shunie





Kuanza maisha upya mkoa ambao haujauzoea ngumu sanaNawe pia anko,tunashukuru Mungu tumeuonaHeshima yako Mjombaa na heri ya mwaka mpya
Haswaa, huwa wanabadili mwisho wanakimbia JFNa kama kuongea basi waongelee i'd yangu hii hii ya shunie