Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tulikubaliana sawa ila nan wa kwanza kuvunja makubaliano

...hata kama, ungetulia unadhani kuna mtu angejua? Unaona binamu ningendako kajituliza anasingizia hana simu kumbe katekwa visiwa vya Madagascar.

Makubaliano tuyaboreshe ili ukiharibu nami niharibu. halafu anko, Mariam biriani kahamia wapi? Kakataa kuniambia alikohamia kwa kuwa wewe ndo umemuhamisha
 
...hata kama, ungetulia unadhani kuna mtu angejua? Unaona binamu ningendako kajituliza anasingizia hana simu kumbe katekwa visiwa vya Madagascar.

Makubaliano tuyaboreshe ili ukiharibu nami niharibu. halafu anko, Mariam biriani kahamia wapi? Kakataa kuniambia alikohamia kwa kuwa wewe ndo umemuhamisha
Mjombaaa achana nae anachokitafutaa atakipataa ankoo ....ila yule mmadagascar yuko vzurii haswaaaaaaaa mpaka nilikuonaa nyendooo zakooo....

Mariam nilimkutaa banana nyuma ya airwingz anakanmbiaa sasa hivi sio level zakoo
 
Kwa wapenzi wa muziki wa Country, mwezi huu umekuwa mgumu na wenye majeraha makubwa kwanza kwa kuondokewa na nguli Kenny Rogers, mkali wa Luccile na The Gambler ukiacha nyingine nzuri nyimbo na alikuwa mkali wa gitaa.

mwingine ndo kwanza kabla halijatitia naye kafariki kwa changamoto ya corona iliyosababishwa na complication nyingine. Anaitwa Joe Diffie mkali wa Honky Tonk attitude- Honky tonk ni bar ambazo zinakuwa na muziki ndani yake, kwa hapa bongo tungesema ni sehemu ambazo tunapata muziki wa bakulutu, kwa wakazi wa Shinyanga mjini mnanielewa nasema nini.

Nimependa tu nikuburudishe na muziki wa mkali huyu ambaye si wengi tunamjua kivile

Apumzike kwa amani..Amen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
....majanga tu na nilikua kwenye karantini siruhusiwi kushika simu nitasambaza korona. Madr wengine cheche sana yaani eti hata text nisitume ila naruhusiwa kupiga chafya?

karantini nilienda baada tu ya kulipwa hela kidogo ya korosho, nilikuwa Kempusinki ya Kilimanjaro hotel. Karantini oyeeeeeeeee
Binamu ulikuwa peke yako?
 
Hili janga la corona
IMG_20200331_072449.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom