Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978



Hivi upooo
Dah yaani tulivyo jaa hivi bado mnafanya haya mambo?
God save us



Hivi upooo
Dah yaani tulivyo jaa hivi bado mnafanya haya mambo?
God save us
Nipooo nina jikarantini hukuHivi upooo
Baada ya wiki mbili hivi tuanaanza kuhesabu leoUnatoka lini uko
Mimi huyu namfichaje jamani hamjapeanaga no kwani
Sio wanga ni wachawiiiRafiki unapotea na kurudi ghafla kama wanga vile!
Binamu yangu umepotea jamani nani anasababisha haya yote haya
Ana pesa za koroshooo
Ukishajua unifunze na mie...asante anko kwa magazeti. Usilisahau na The Citizen anko, najifunza kiinglishi
Mh!....majanga tu na nilikua kwenye karantini siruhusiwi kushika simu nitasambaza korona. Madr wengine cheche sana yaani eti hata text nisitume ila naruhusiwa kupiga chafya?
karantini nilienda baada tu ya kulipwa hela kidogo ya korosho, nilikuwa Kempusinki ya Kilimanjaro hotel. Karantini oyeeeeeeeee
Ankoo pesa ishaishaa nitumie naingiaa karantini leo kama wewe...asante anko kwa magazeti. Usilisahau na The Citizen anko, najifunza kiinglishi
Tulikubaliana sawa ila nan wa kwanza kuvunja makubaliano...anko, hukupaswa kumwaga mtama hapa, kama hukuridhika na ile pesa ungesema. Mwenzako Telemundo nimemuambia sijalipwa bado na niko kwenye karantini anitumie pesa maana tumejifungia kwenye hotel ya nyota 4.
Karantini oyeee
Ankoo pesa ishaishaa nitumie naingiaa karantini leo kama wewe
Aunt hapinduiiiii nishamwambia....ha ha ahahha, sasa inabidi ujipange. Najua aunt anaweza kukuwekea kauzibe sasa fanya kunitumia laki moja nije na wale madaktari wa airpot tuje tukukamate kuwa umekimbia kupimwa korona, hii itasaidia sana