Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Sawa Sawa.
Mimi nilisema tu kama kuna wanaochat na babe wangu
Mimi nilisema tu kama kuna wanaochat na babe wangu
Salama kabsa, za weekend
Hahhha ya kutokuaga nishaizoea mie hainipi shida
Kuanzia leo ukiquote comment yangu nakuambukiza Corona!Quote za mumeo huko!




Hahahhaa baba wawili bwana ujue we mchokozi sanaInabidi kwenda naye hivyo hivyo
Baba wawili mbona unacheka hivyo
Ukija unasalimia tu ukijibiwa haujibu hivi Una maana ganiiii
Safi sana kibonge yna2! Kazia hapohapo Mama ndiyo maana nakupendea bure mimi apa!Ukija unasalimia tu ukijibiwa haujibu hivi Una maana ganiiii



Hivi kumbe natakiwa nijibu tena..!!Ukija unasalimia tu ukijibiwa haujibu hivi Una maana ganiiii

Acha uchochezi we mzee
Eeenh
Nitaanza huo utaratibu dearEeenh
Watu wakikujibu unatakiwa uwajibu jamani
Wewe ni Corona virusi!Acha uchochezi we mzee
HilooooooooooooWewe ni Corona virusi!
Shikamoooo ankooo binamuuuu....tuwe na wiki njema wadau