Kwahiyo Mariam kawa matawi siku hz hamtaki bwana obeMjombaaa achana nae anachokitafutaa atakipataa ankoo ....ila yule mmadagascar yuko vzurii haswaaaaaaaa mpaka nilikuonaa nyendooo zakooo....
Mariam nilimkutaa banana nyuma ya airwingz anakanmbiaa sasa hivi sio level zakoo



Ndiooooo
Binamu hapa nilipo nataman nitekwe tena...hata kama, ungetulia unadhani kuna mtu angejua? Unaona binamu ningendako kajituliza anasingizia hana simu kumbe katekwa visiwa vya Madagascar.
Makubaliano tuyaboreshe ili ukiharibu nami niharibu. halafu anko, Mariam biriani kahamia wapi? Kakataa kuniambia alikohamia kwa kuwa wewe ndo umemuhamisha


Hako ka msemo nani amekaanzisha shunie?
😂😂😂😂😂😂😂Shahiri soon kwa hisani kubwa ya kuwadi!![]()