Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni chuki tuuu!! Yaani mtu mwingine akung'ang'anie huko sijui binamu njoo, sijui binamu nakutaka, sijui binamu wewe ni mtamu sasa badala ya kufa na huyo mtu huko unakuja kudai kuwa mimi ambae hata sina shida na mtu kuwa siyo mtu!
Pambana mzee mwenzangu, ukihitaji support niambie.. Tunachukua jimbo kiulaini..kwa ile mistari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom