Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Unaninyima kuwa family friend eti mimi ni mvurugaji kumbe wewe ndiye mvurugaji namba moja!Niwacheeee
Naona harakati zako za kutaka niachwe ili ufanye shereheUnaninyima kuwa family friend eti mimi ni mvurugaji kumbe wewe ndiye mvurugaji namba moja!
Unavuruga nisiwe family friend!Naona harakati zako za kutaka niachwe ili ufanye sherehe
Haya mimi nimevuruga niniiiii

Tunakupenda pia mamy
Simu gani ?App baba wawili
Bahariaa vipii kibongeNi wivu tuuu!
Babeee swtyNiwacheeee
Unaninyima kuwa family friend eti mimi ni mvurugaji kumbe wewe ndiye mvurugaji namba moja!





Uzuriii sio ya baharia mzee wa chura
Uwe unamalizia wa lee kabisa ili wale wa asbh wakose cha kusemaJe wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangalamtoto mlito kiboko kabisa



Huyu Kijana namjuaga mwenyewe huyu, binafsi nishamshindwa! Haya sasa ndugu yangu Kataskopos, hebu ukuje huku umjuze mpwa ako Shunie... una kimeo cha Finca, Bayport, Tala au vimeo vyetu vile vinavyoanzia PM na kuhitimishwa mtaani?!Kwahiyo anko wangu naye kakimbia kimeo sasa kitakuwa kimeo gani hiko binamu
Kuwa mpole Mkuu, ni kweli nimetumwa na aunt, yaani mamake na binamu Shunie. Aunt nae, eti anataka binamu aje kuishi kwangu kwa muda manake kule mtaani kwao kuna majirani wawili wana coronavirus!Mzee tuliaa bhasiiiiii umetumwaa ?