Na hupati kabisa family friend approval
Bhana eh! Ndo nimekuja... lau kama nisingeanzia PM, wala nisingekufahamu! Ila mdogo wangu twende taratibu! Hapa JF ukiona mtu amepata jina la ubatizo basi ujue anakimbia kimeo [emoji23][emoji28]
Ni chuki tuuu!! Yaani mtu mwingine akung'ang'anie huko sijui binamu njoo, sijui binamu nakutaka, sijui binamu wewe ni mtamu sasa badala ya kufa na huyo mtu huko unakuja kudai kuwa mimi ambae hata sina shida na mtu kuwa siyo mtu!Mimi kila siku nakwambia huyo sio mtu
Mbona tunapeana presha asubuh morningAbeeeh babe boo
BabyBinamu utaniharibia ndoa na uzee hata wa kunipa salaam sina
Ila yanaumaaaEndiwooooo [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji182]
NmeonaaaMimi kila siku nakwambia huyo sio mtu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kibongeee humpatiiiiNi chuki tuuu!! Yaani mtu mwingine akung'ang'anie huko sijui binamu njoo, sijui binamu nakutaka, sijui binamu wewe ni mtamu sasa badala ya kufa na huyo mtu huko unakuja kudai kuwa mimi ambae hata sina shida na mtu kuwa siyo mtu!
Leo nimempata pacha wangu hapa, ngoja nianze kujenga nae urafiki![emoji4][emoji4][emoji4]Binamu utaniharibia ndoa na uzee hata wa kunipa salaam sina
Nikimkosa naungana na pacha wangu Chige tunaanza kufanya shughuli za ugaidi![emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kibongeee humpatiiii
Shughuli za ugaidi zitaanza kwa kutengeneza mabomu![emoji16][emoji16][emoji16]Kwa shunie poleniiiiiii
Hapaa kafikaa hafurukutiiiiiii mzeee bahariaa
Poleniiiiii huijuii nguvu ya mapenziiiiShughuli za ugaidi zitaanza kwa kutengeneza mabomu![emoji16][emoji16][emoji16]
Mabomu ya nyuklia hayajawahi kushindwa chochote![emoji16][emoji16][emoji16]Poleniiiiii huijuii nguvu ya mapenziiii
Sababu unayashangilia ndio maanaNi chuki tuuu!! Yaani mtu mwingine akung'ang'anie huko sijui binamu njoo, sijui binamu nakutaka, sijui binamu wewe ni mtamu sasa badala ya kufa na huyo mtu huko unakuja kudai kuwa mimi ambae hata sina shida na mtu kuwa siyo mtu!
Hahahaa hakuna bwana niamini mimiMbona tunapeana presha asubuh morning
Niko apa babe [emoji8][emoji8][emoji8]Baby
Leo nimempata pacha wangu hapa, ngoja nianze kujenga nae urafiki![emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila we mtu unapenda uchochezi sanaNikimkosa naungana na pacha wangu Chige tunaanza kufanya shughuli za ugaidi![emoji16][emoji16][emoji16]