Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Na kuanziaaa leo simuitiii baby wala swty ni ww tu unayestahilii maneno hayoo shunie wa roho yangu mwanamke pekee anayenivumiliaa kwenye ujinga wangu na kunipendaaa kutoka moyoni nakupenda na nitakupendaaaaaaaaaaaaHatujaaachana wala hatutaachana tatizo la huyu mwanaume kubebishana na kila mtu humu babe watu wanajua tumeachana na mimi huwa nakaa kimya namuacha na mambo zake




nyama ya ulimi tamu jamani nyama ya ulimi tamuuu 
