Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hatujaaachana wala hatutaachana tatizo la huyu mwanaume kubebishana na kila mtu humu babe watu wanajua tumeachana na mimi huwa nakaa kimya namuacha na mambo zake
Na kuanziaaa leo simuitiii baby wala swty ni ww tu unayestahilii maneno hayoo shunie wa roho yangu mwanamke pekee anayenivumiliaa kwenye ujinga wangu na kunipendaaa kutoka moyoni nakupenda na nitakupendaaaaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom