Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Wake wenza wanaopendana kama wake wa Dr mwaka



Ungeuliza uelekezweKabisa shem!



ila nyie ni noma sana! yaani mmeachana kisayansi, hakuna hata mtu anaejua halafu bado ni mabest ili kuendelea kupumbaza watu!!




weee mchawiiii wetuuu
Baby achana nae...Dahhivi kwani tuliwapa taarifa ya kuachana nacheka sana hata wewe wa kunipa madongo dada yako
Hatujaaachana wala hatutaachana tatizo la huyu mwanaume kubebishana na kila mtu humu babe watu wanajua tumeachana na mimi huwa nakaa kimya namuacha na mambo zake


kumbe una moyo was chuma weye
Unatuelewa vizuri tu sema unajitoa ufahamu akianzaga mambo zake za kubebishana na kila mtu huwa nakaa kimya tu kuwa mpenzi mtazamaji





Muoneee
Na wewe ukiwemooo
Wewe anko yuko na mmakonde wakee