Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Mie ndio kwanza misongo ya mawazo inaongezeka!! Msongo wa “nitampataje” ndio huongezeka.
![]()
Pole
Mie ndio kwanza misongo ya mawazo inaongezeka!! Msongo wa “nitampataje” ndio huongezeka.
![]()
Makubwa haya
Baharia naona upo home!(makapuku forum)
Unamaliziaa upo home na mtoto mlito shunie au unanisahaurisha
Hakuna kama home!(makapuku forum).Home pamekupa vitamu vya kila aina na kwa kila ladha!
Vitamu bado vipo?
Sitaki mlokole lakini!





Nini
BabyMakubwa haya
Ningeyasema haya mimi ningelaaniwa na kuitwa mbea mbwa!
Ningeyasema haya mimi ningelaaniwa na kuitwa mbea mbwa!
~Ni ubaguzi tuuu!
Baby
Ningeyasema haya mimi ningelaaniwa na kuitwa mbea mbwa!
~Ni ubaguzi tuuu!






Washindweeee walegeeee....nipeee busuuu iwaumeeeWanasema tumeachana eti
ila nyie ni noma sana! yaani mmeachana kisayansi, hakuna hata mtu anaejua halafu bado ni mabest ili kuendelea kupumbaza watu!!Washindweeee walegeeee....nipeee busuuu iwaumeee
Dahila nyie ni noma sana! yaani mmeachana kisayansi, hakuna hata mtu anaejua halafu bado ni mabest ili kuendelea kupumbaza watu!!



hivi kwani tuliwapa taarifa ya kuachana nacheka sana hata wewe wa kunipa madongo dada yako