Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mi niliuliza jameniWashindweeee walegeeee....nipeee busuuu iwaumeee

Umewashtukia etiila nyie ni noma sana! yaani mmeachana kisayansi, hakuna hata mtu anaejua halafu bado ni mabest ili kuendelea kupumbaza watu!!
Ndio sio lazima yeye atuelewe kama wenyewe tunaelewana


ila na mimi siwaelewi
Hatujaaachana wala hatutaachana tatizo la huyu mwanaume kubebishana na kila mtu humu babe watu wanajua tumeachana na mimi huwa nakaa kimya namuacha na mambo zake



Sasa na mimi naachwaje mimi kuniacha nitake mwenyewe ndio utaniacha bila hivyo siachiki




Unatuelewa vizuri tu sema unajitoa ufahamu akianzaga mambo zake za kubebishana na kila mtu huwa nakaa kimya tu kuwa mpenzi mtazamaji




