Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Anko nimekumind kishenzi yaani umeniharibia saa hizi ninajiandaa kuomba msamaha.
Inabidi unipe mbinu nifanye kama unavyofanya, unamkosea aunt afu anaomba yeye msamaha


Binamu anikosee nimwombe msamaha mimiHahah sawa binamu, nitakutafuta weekend hiimkwepu jr u khali gani Maalim hebu nitafutie moudgulf aje maana niliodhani ni ndugu zangu wanachafua jina langu ambalo nimetumia waganga kulijenga angalau lifahamike.
Ndugu zangu wenyewe ndo hawa hawa Lee na ningendako ambao kama unamjua mtu asiyejulikana nitafute kwa namba ya ttcl tupange mkakati
Aunt yako kwangu kafa kaozaaaaa![]()

UsimsikilizeeeBinamu anikosee nimwombe msamaha mimi
Namtaniaaa ankooo
Sawa sawa binamu, nashukuru kwa kulitambua hilo,unanifahamu vyema siwez kuharbu kwa jiran.....nilijua tu simu yako imehackiwa maana sio kwa kuniharibia kwa jirani yako ambaye bahati mbaya sana mimi nnampenda mno juzi tu nimemnunulia pipikoo ajikinge na corona

Hahahah
Hahah shunie husahau tuKwahiyo siku ile ulikuwa unachangia tu baba wawili
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hahaha aiseHiyo signature mbona haiandiki ni iphone 11 max?
Aunt yangu ana iPhone kumbe? Ndo maana maandiko wake mzuri tofauti kabisa na ule wa Mwajuma uliyemnunulia Singerphone.
Simu kubwa kama cherehani



dah
Hapana jamani baba wawili nimeuliza tuHahah shunie husahau tu
Jirani, ni wewe umeandika haya
Jameni, ujue wewe ndo tegemeo langu. Unapaswa kuwa wa mwisho kuniumiza moyo. Nimesikitika sana hadi nguvu zimeniishia.
Machozi yanatiririka kama mvua za vuli bila mwamvuli nahisi nitasombwa na upepo wa kusulisuli





Anko nimekumind kishenzi yaani umeniharibia saa hizi ninajiandaa kuomba msamaha.
Inabidi unipe mbinu nifanye kama unavyofanya, unamkosea aunt afu anaomba yeye msamaha





Nini tena
Mjombaa ulichotumia leo, usikirudie tena

Mjomba ulichokitumia leo, usikirudie tenaNini tena

Mmenichekeshana sana aiseeHapana jamani baba wawili nimeuliza tu