Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Weka tulipueeNaogopa kuweka petroli sehemu ya moto
Weka tulipueeNaogopa kuweka petroli sehemu ya moto
Barikiwa sana jamaniAmeena My wangu
Siku nyingi saaana jamani MkuuHahahahahahaha ndo nishaachwa
Ndo ukweli huo..Umeanza porojooo zakooo![]()
SawaHata sikumbuki jamani
Wewe apoSasa nan anayaweza ya kushare
Watu wanakulagaNimekumbuka tu wimbo wa manifongo
Hainaga ushemeji
Nimekumbuka tu wimbo wa manifongo
Hainaga ushemeji








Sawa bhanaaa.... kwani mi nimesemajeee...??!!!
Waacheee waoaneee.......
Sent using Jamii Forums mobile app

kina Nani haoo? Sahivi limeoza kaamua alitupe..Ndio nmejua leo, binamu kafanya kuokota embe dodo mchangan![]()

Naona umetoa ya moyoniKuna kitu tunaita utindio wa ubongo huwapata sana watoto chini ya miaka mitano
Utakapo mpata akapona wengi hujikuta wana matatizo ya kuhisi kila kitu wanajua huku wakiwachukia wanao jua
Sasa wewe na akili zako timamu unawezaje kufuatlia vitu ambavyo huvielewi kama.sio huo ugonjwa