Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Maahindi jamaaniiiNakunyima mahindi ya kuchoma na ile kitu ua wakubwa akina naniiii
Maahindi jamaaniiiNakunyima mahindi ya kuchoma na ile kitu ua wakubwa akina naniiii
Nipatie majibu tafadhali ,nini kina wakalisha hapa siku zote?
Sina chuki na mtu , na jiuliza kipi kinawakalisha hapa siku zote hizi ,hamchoki ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukichoka ujue tumekufa!!Sina chuki na mtu , na jiuliza kipi kinawakalisha hapa siku zote hizi ,hamchoki ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi
Pole sanaSina chuki na mtu , na jiuliza kipi kinawakalisha hapa siku zote hizi ,hamchoki ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu habar ya siku nyingiMaahindi jamaaniii
Yaan hakuna kibaya kuingia kwenye anga za fisi etiii fisaa simba aliyejeruhiwa
Chizi wewe






HahahahaPamoja na mwaka mpya
Nzuri mkuuNdio mkuu habar ya siku nyingi
Kuna kitu tunaita utindio wa ubongo huwapata sana watoto chini ya miaka mitanoSina chuki na mtu , na jiuliza kipi kinawakalisha hapa siku zote hizi ,hamchoki ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan hakuna kibaya kuingia kwenye anga za fisi etiii fisaa simba aliyejeruhiwa
Utampigishaaa kwataa atakomaaa









Asante sana mkuu mi nipo bosi kanipunguza kibarua hata bando imekuwa shidaNipo tupo na tunaendelea kuwepooo
AsanteKuna kitu tunaita utindio wa ubongo huwapata sana watoto chini ya miaka mitano
Utakapo mpata akapona wengi hujikuta wana matatizo ya kuhisi kila kitu wanajua huku wakiwachukia wanao jua
Sasa wewe na akili zako timamu unawezaje kufuatlia vitu ambavyo huvielewi kama.sio huo ugonjwa
Katika nafasi yako ya uchocheziAsante
Ni njema mkuu habar ya ujenzi wa tanzania yetuNzuri mkuu
Habari ya mapambano
Hahahaaa majamaa hawaachi kituMmmmmh usimfananishe shunie na hao
Namwambiaa ukweli
Niwacheeeee
Jamaniii kwanza nmekumisKatika nafasi yako ya uchochezi
Kaka mkubwa mzimaHahahaaa majamaa hawaachi kitu