Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna kitu tunaita utindio wa ubongo huwapata sana watoto chini ya miaka mitano

Utakapo mpata akapona wengi hujikuta wana matatizo ya kuhisi kila kitu wanajua huku wakiwachukia wanao jua


Sasa wewe na akili zako timamu unawezaje kufuatlia vitu ambavyo huvielewi kama.sio huo ugonjwa
Eti huyu mwanafunzi anajidai kisa anajua kuongea sana kingereza.

Mwalimu wetu wa English alikua anapenda kutusema hivi..RIP
 
Watu huweka avatar wanazo fanana nazo au vitu wavipendazo..
Naimani uliweka hyo avatar coz she's beautiful kama ww.

Itakua mndali ni mnene kama hayo mabonge kwenye avatar yake
Hahahaha mkuu mi nina mwili wa stick ya kuchapia watoto

Hiyo avatar niipenda kulingana na harakati za maisha na mapito yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom