Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,639
ningendako duh, nimeifurahia hii clip ya huyu DJ Arch, ngoma anapiga za South na kwa vile mimi simu yangu ina sabufa (subwoofer). Hii simu ni zile mpya na nimeiunganisha na JB Charge E14 muziki wake si wa kitoto.
Asante
NB: Nilinunua simu mpya baada ya kulipwa hela yangu ya kwanza ya kuuza korosho, lakini nadhani nilifanya maamuzi mabovu, kama kuna mtu anashida na simu mpya anitafute nimuuzie. Ikiwa utaleta mteja basi utapata cha juu na hutakatwa kodi, cash bin cash
Asante
NB: Nilinunua simu mpya baada ya kulipwa hela yangu ya kwanza ya kuuza korosho, lakini nadhani nilifanya maamuzi mabovu, kama kuna mtu anashida na simu mpya anitafute nimuuzie. Ikiwa utaleta mteja basi utapata cha juu na hutakatwa kodi, cash bin cash
ngoja nijaribu kukusalimia Kama utaitika
